Local,Normal News,NBC premier league, Yanga sc, Simba sc

Yanga, Simba kufungua msimu mpya kwa mechi za ugenini

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
20 Jul 2026
Yanga, Simba kufungua msimu mpya kwa mechi za ugenini

Ratiba ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya NBC msimu mpya umekamilika, huku vigogo wa soka Tanzania, Simba SC na Yanga SC, wakianza kampeni zao za kusaka ubingwa kwa mechi za ugenini.

Mabingwa watetezi Yanga SC wataanza msimu mpya Agosti 15 kwa kuvaana na Namungo FC katika Uwanja wa Majaliwa, Lindi, wakilenga kuanza vyema harakati za kutetea taji lao.

Kwa upande wa Simba SC, Wekundu wa Msimbazi watashuka dimbani Agosti 16 dhidi ya Kagera Sugar katika Uwanja wa Kaitaba, Bukoba, wakisaka pointi tatu za kwanza zitakazowaweka kwenye njia ya kuwania ubingwa.

Ratiba hiyo inaashiria mwanzo wa msimu mpya wenye ushindani mkubwa, huku kila timu ikitamani kuanza kwa ushindi ili kujijengea morali mapema katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
7h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
11h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
12h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
14h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
16h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
17h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
17h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
19h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
23h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’