Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), Cornel Barnabas, amesema uamuzi wa kutoa mapema ratiba ya Ligi Kuu ya NBC msimu mpya umefanyika kwa lengo la kuzipa klabu muda wa kutosha kufanya maandalizi ya kiufundi na kiutawala kabla ya kuanza kwa mashindano.
Kwa upande mwingine Barnabas amesema hatua hiyo itawezesha timu kupanga mipango yao mapema ikiwemo maandalizi ya programu za..... download Xtra 90 App



