Ndoto ya winga mahiri wa TRA United, Ramadhan Chobwedo, kujiunga na Simba SC katika dirisha hili la usajili imegonga mwamba baada ya changamoto ya majeraha iliyompata kuelekea mwisho wa msimu uliopita.
Taarifa zinaeleza kuwa Chobwedo alikuwa amefikia makubaliano ya awali ya kutua Msimbazi mara baada ya msimu kumalizika. Hata hivyo, mipango hiyo imesimama kufuatia jeraha alilopata ambalo..... download Xtra 90 App



