Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans SC, wamemtambulisha rasmi Abdulnassir Mohamed “Gamal” kuwa mchezaji wao mpya baada ya kukamilisha usajili wake akitokea Mashujaa FC, kuelekea msimu wa 2026/27.
Gamal anawasili Jangwani akiwa mmoja wa wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kucheza nafasi zaidi ya moja, jambo linalomfanya kuwa silaha muhimu kwa benchi la ufundi katika kupanga..... download Xtra 90 App



