Klabu ya Yanga imeendelea kuimarisha benchi lake la ufundi kuelekea msimu wa 2026/27 baada ya kumtambulisha rasmi Simo Dladla kutoka Afrika Kusini kuwa kocha msaidizi mpya wa klabu hiyo.
Dladla anaungana na mabingwa hao wa Tanzania akiwa na jukumu la kumsaidia kocha mkuu katika maandalizi ya kikosi, maendeleo ya wachezaji pamoja na mipango ya kiufundi kwa ajili ya mashindano ya ndani na..... download Xtra 90 App



