Klabu ya Azam FC imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Sudan, John Mano, kutoka klabu ya Al-Akhdar inayoshiriki Ligi Kuu ya Libya. Uhamisho huu unaipatia Azam nyongeza mpya mbele ya kiwanja, ikiwa ni sehemu ya mkakati wao wa kuimarisha kikosi kabla ya msimu mpya wa 2026/27.
Mano si mgeni apa nchini , kwani aliwahi kuja akiwa na Al Hilal ya Sudan chini ya kocha Ibenge, kabla..... download Xtra 90 App



