Klabu ya Simba SC imeendelea kuonyesha dhamira yake ya kujenga kikosi imara kuelekea msimu mpya baada ya kukamilisha hatua za mwisho za kuwasajili nyota wawili, Keletso Makgalwa na Ibrahim Doumbia.
Mshambuliaji Ibrahim Doumbia, mwenye umri wa miaka 22 kutoka Mali, tayari amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kukamilisha taratibu za kujiunga na Wekundu wa Msimbazi. Nyota huyo..... download Xtra 90 App



