Klabu ya Singida Black Stars inatajwa kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Jean Charles Ahoua, raia wa Ivory Coast, katika moja ya usajili mkubwa unaovuta hisia kuelekea msimu mpya wa mashindano.
Ahoua, ambaye aliwahi kung'ara akiwa na Simba SC kwa kiwango chake bora cha kutengeneza na kufunga mabao, anarejea kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuachana na klabu ya CR Belouizdad..... download Xtra 90 App



