Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Dkt. Patrice Motsepe, ametoa pongezi kwa Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA), Gianni Infantino, akisema ameendelea kuonyesha uaminifu na dhamira ya dhati katika kuisaidia Afrika kukuza mchezo wa soka.
Akizungumza kuhusu ushirikiano kati ya CAF na FIFA, Motsepe amesema Infantino amekuwa mstari wa mbele kuunga mkono maendeleo ya soka..... download Xtra 90 App



