Klabu ya Singida Black Stars imeendelea kujiimarisha kuelekea msimu mpya baada ya kumrejesha beki wa kati wa timu ya taifa ya Nigeria, Benjamin Tanimu, kwa mkataba wa miaka miwili.
Tanimu, mwenye umri wa miaka 23, anarejea Singida Black Stars akitokea klabu ya Maghreb Fès ya Morocco, ambako alicheza baada ya kuondoka Tanzania. Taarifa zinaeleza kuwa mkataba wake mpya na Singida ni wa..... download Xtra 90 App



