Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wameendelea kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu mpya baada ya kumtambulisha rasmi winga Erick Mwijage, aliyekuwa akiichezea KMC.
Mwijage anatua Jangwani kama mchezaji huru kufuatia kumalizika kwa mkataba wake na KMC, klabu ambayo imeshuka daraja mwishoni mwa msimu uliopita. Uhamisho wake unaongeza idadi ya wachezaji wapya ambao Yanga..... download Xtra 90 App



