Baadhi ya mashabiki wa Argentina wanaendelea kuibua maswali kuhusu mazingira yaliyozunguka fainali ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Hispania, wakidai kuwa kulikuwa na viashiria vilivyoonyesha timu hiyo haikuwa katika hali ya kawaida hata kabla ya mchezo kuanza.
Miongoni mwa madai yanayoenezwa ni kwamba kocha Lionel Scaloni aliwasili uwanjani akiwa analia, huku ikidaiwa kuwa Lionel Messi..... download Xtra 90 App



