Miamba ya soka nchini Hispania, Real Madrid, imezindua rasmi uzi wake mpya wa ugenini utakaotumika katika msimu wa 2026/27.
Jezi hiyo imekuja na rangi ya kijani kibichi, ikiwa na muundo wa kisasa unaolenga kuwapa wachezaji mwonekano tofauti wanapocheza mechi za ugenini.
Mara baada ya kuzinduliwa, uzi huo umeanza kuzua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki wa soka duniani, ambapo..... download Xtra 90 App



