International,Normal News,FIFA World Cup 2026

Rasmi: FIFA yatangaza kikosi bora cha Kombe la dunia 2026.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
23 Jul 2026
Rasmi: FIFA yatangaza kikosi bora cha Kombe la dunia 2026.

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza rasmi Kikosi Bora (Dream XI) cha Kombe la Dunia 2026, kilichopatikana kupitia kura za mashabiki baada ya kumalizika kwa mashindano hayo yaliyoshuhudia Hispania ikitwaa ubingwa wake wa pili wa dunia.

Kikosi hicho kinajumuisha mchanganyiko wa nyota walioonyesha kiwango cha juu katika mashindano, huku wachezaji kutoka Hispania, Ufaransa, Argentina, England, Norway na Cape Verde wakipata nafasi kutokana na mchango wao mkubwa.

FIFA World Cup 2026 Dream XI:

Kikosi hicho kimezua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki, huku baadhi wakishangazwa na kutokuwemo kwa nyota kadhaa wa Hispania licha ya kutwaa ubingwa wa dunia. Wengi walitarajia kuona majina kama Unai Simón au Pau Cubarsí yakipata nafasi kwenye kikosi hicho.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE →
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE →
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE →
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE →
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE →
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE →
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE →
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE →
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE →