Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza rasmi Kikosi Bora (Dream XI) cha Kombe la Dunia 2026, kilichopatikana kupitia kura za mashabiki baada ya kumalizika kwa mashindano hayo yaliyoshuhudia Hispania ikitwaa ubingwa wake wa pili wa dunia.
Kikosi hicho kinajumuisha mchanganyiko wa nyota walioonyesha kiwango cha juu katika mashindano, huku wachezaji kutoka Hispania, Ufaransa,..... download Xtra 90 App



