Klabu ya Barcelona imemtambulisha rasmi mshambuliaji wa Ujerumani, Karim Adeyemi, kuwa mchezaji wake mpya baada ya kukamilisha uhamisho wake kutoka Borussia Dortmund.
Adeyemi, mwenye umri wa miaka 24, amejiunga na miamba hiyo ya La Liga kwa mkataba wa miaka mitano utakaomuweka Camp Nou hadi Juni 2031.
Barcelona imelipa euro milioni 22 kama ada ya msingi ya usajili, huku makubaliano..... download Xtra 90 App



