Barcelona yatambulisha usajili wa Adeyemi

Joel JJ By Joel JJ β€’ 23rd July 2026


Barcelona yatambulisha usajili wa Adeyemi

Klabu ya Barcelona imemtambulisha rasmi mshambuliaji wa Ujerumani, Karim Adeyemi, kuwa mchezaji wake mpya baada ya kukamilisha uhamisho wake kutoka Borussia Dortmund.

Adeyemi, mwenye umri wa miaka 24, amejiunga na miamba hiyo ya La Liga kwa mkataba wa miaka mitano utakaomuweka Camp Nou hadi Juni 2031.

Barcelona imelipa euro milioni 22 kama ada ya msingi ya usajili, huku makubaliano..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Zamalek Yakaribia Kuondolewa Marufuku ya Usajili FIFA
Zamalek Yakaribia Kuondolewa Marufuku ya Usajili FIFA
Today, READ MORE β†’
Barcelona yatambulisha usajili wa Adeyemi
Barcelona yatambulisha usajili wa Adeyemi
Today, READ MORE β†’
Motsepe : Tunaenda kujadili Ombi la Misri Kuongeza Timu ligi ya Mabingwa Afrika
Motsepe : Tunaenda kujadili Ombi la Misri Kuongeza Timu ligi ya Mabingwa Afrika
Today, READ MORE β†’
Rasmi: FIFA yatangaza kikosi bora cha Kombe la dunia 2026.
Rasmi: FIFA yatangaza kikosi bora cha Kombe la dunia 2026.
Today, READ MORE β†’
Real Madrid wazindua rasmi uzi mpya wa ugenini wa msimu wa 2026/27.
Real Madrid wazindua rasmi uzi mpya wa ugenini wa msimu wa 2026/27.
Today, READ MORE β†’
Waamuzi Tanzania Waingia Awamu ya Tano Mafunzo ya VAR
Waamuzi Tanzania Waingia Awamu ya Tano Mafunzo ya VAR
Today, READ MORE β†’
Mjadala ukiendelea, nadharia mbalimbali zikiendelea kuzuka huku mashabiki wakihoji.
Mjadala ukiendelea, nadharia mbalimbali zikiendelea kuzuka huku mashabiki wakihoji.
Today, READ MORE β†’
AFA yafikiria kuchukua hatua za kisheria dhidi ya uzushi unaonedelea kuhusu timu yao
AFA yafikiria kuchukua hatua za kisheria dhidi ya uzushi unaonedelea kuhusu timu yao
Today, READ MORE β†’
Tetesi zazua mjadala baada ya fainali ya Kombe la dunia 2026.
Tetesi zazua mjadala baada ya fainali ya Kombe la dunia 2026.
Today, READ MORE β†’
Casemiro atua Inter Miami, aungana na Messi
Casemiro atua Inter Miami, aungana na Messi
Today, READ MORE β†’