Kiungo mshambuliaji Ladark Chasambi ameanza maisha mpya kunako klabu ya Singida BS baada ya kukamilisha usajili wake akitokea klabu ya Simba.
Chasambi amejiunga na matajiri hao wa Singida katika dirisha hili baada ya kumaliza mkataba na klabu ya Simba.
Nyota huyo amejumuishwa kwenye kikosi cha Singida BS kilichoweka kambi nchini Rwanda kushiriki mchuano ya CECAFA Kagame Cup..... download Xtra 90 App



