Local,Normal News,Singida BS, Simba

Chasambi ameanza maisha mapya Singida BS

Joel JJ By Joel JJ
β€’
24 Jul 2026
Chasambi ameanza maisha mapya Singida BS

Kiungo mshambuliaji Ladark Chasambi ameanza maisha mpya kunako klabu ya Singida BS baada ya kukamilisha usajili wake akitokea klabu ya Simba.

Chasambi amejiunga na matajiri hao wa Singida katika dirisha hili baada ya kumaliza mkataba na klabu ya Simba.

Nyota huyo amejumuishwa kwenye kikosi cha Singida BS kilichoweka kambi nchini Rwanda kushiriki mchuano ya CECAFA Kagame Cup inayotarajiwa kuanza leo nchini Rwanda.

Chasambi ni miongoni mwa wachezaji wanaotizamwa kuwa na vipaji vikubwa hata hivyo hakuwa na wakati mzuri alipokuwa na klabu ya Simba.

Singida BS wamemuhakikishia kupata nafasi ya kucheza mara kwa mara wakitambua ubora wake.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’