Shirikisho la Soka la Ujerumani (DFB) limemtangaza rasmi Jurgen Klopp kuwa kocha mkuu mpya wa Timu ya Taifa ya Ujerumani kwa mkataba utakaodumu hadi baada ya Kombe la Dunia la mwaka 2030.
Klopp, ambaye alijijengea heshima kubwa akiwa kocha wa Borussia Dortmund na baadaye Liverpool, anarejea benchi la ufundi baada ya kuachana na Liverpool mwishoni mwa msimu wa 2023/24 na kufanya kazi kama..... download Xtra 90 App



