Vipers SC ya Uganda imeanza kwa kishindo kampeni yake ya CECAFA Kagame Cup 2026 baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Garde Republicaine katika mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo.
Mabingwa hao wa Uganda walionyesha ubora wao tangu dakika za mwanzo kwa kutawala mchezo na kutumia vyema nafasi walizozipata mbele ya lango. Ushindi huo umeiweka Vipers katika nafasi nzuri..... download Xtra 90 App



