Young Africans SC wamekamilisha usajili wa mshambuliaji Cheick Ibrahim Toure (29), ambaye anajiunga na mabingwa hao wa Tanzania kuelekea msimu wa 2026/27.
Toure anatua Jangwani baada ya kuitumikia Al-Jabalain FC ya Saudi First Division, ambako alikuwa akiendelea na soka lake kabla ya kukubali changamoto mpya ya kujiunga na Yanga.
Ujio wa mshambuliaji huyo unatajwa kuwa sehemu ya..... download Xtra 90 App



