Rais wa Klabu ya Young Africans (Yanga SC), Injinia Hersi Said, usiku wa Ijumaa Julai 24, 2026, amewalipua mashabiki wa klabu hiyo kwa kutambulisha rasmi wachezaji watatu wapya wa kimataifa, huku akiahidi kuwa huu ni mwanzo tu wa mapinduzi makubwa ya kikosi hicho kuelekea msimu wa 2026/2027.
Utambulisho huo uliorushwa mubashara kupitia Runinga ya Azam TV na mitandao ya kijamii ya klabu,..... download Xtra 90 App



