Rais wa Klabu ya Yanga SC, Injinia Hersi Said, amewatolea uvivu na kuwashukia vikali wadau wa soka wanaobeza usajili wa wachezaji wazawa uliofanywa na klabu hiyo, akitaja ukosoaji huo kama mtazamo hasi usio na tija kwa maendeleo ya soka la Kitanzania.
Akizungumza usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano maalumu wa klabu hiyo, Injinia Hersi amesema uongozi wa Yanga..... download Xtra 90 App



