Kila dirisha la usajili linapofunguliwa, vita ya usajili kati ya Simba SC na Yanga SC huwa sehemu ya burudani kwa mashabiki wa soka nchini. Safari hii, Mnyama ameibuka na pigo kubwa baada ya kumnasa kiungo mshambuliaji mwenye uwezo mkubwa, Keletso Makgalwa, na kumtambulisha rasmi akiwa mchezaji mpya wa klabu hiyo.
Simba imefanikiwa kumsajili Makgalwa akitokea Sekhukhune United ya Afrika..... download Xtra 90 App



