Mchezo wa kwanza wa Kundi B katika michuano ya CECAFA Kagame Cup kati ya Simba SC na Mogadishu City FC umemalizika kwa sare ya bila kufungana, huku timu zote zikigawana pointi moja katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa.
Simba SC chini ya kocha mkuu Steve Barker ilianza mchezo ikiwa na kikosi chenye mchanganyiko wa nyota wengi wapya waliosajiliwa katika dirisha hili la usajili...... download Xtra 90 App



