Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imepanga kusikiliza Oktoba 8, 2026, rufaa iliyowasilishwa na Shirikisho la Soka la Senegal (FSF), ambalo linapinga uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuiondolea Senegal ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025.
Senegal inataka CAS kubatilisha uamuzi huo na kuitambua tena kama bingwa halali wa AFCON 2025. Awali,..... download Xtra 90 App



