Pazia la michuano ya Kombe la Mataifa ya Wanawake Afrika (WAFCON 2026) linafunguliwa rasmi nchini Morocco, huku mataifa 16 yakijiandaa kuwania taji la ubingwa wa Afrika kwa upande wa wanawake.
Michuano hiyo inatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na uwepo wa timu zenye historia na ubora mkubwa katika soka la wanawake barani Afrika, huku macho yakiwa kwa mabingwa watetezi, wenyeji..... download Xtra 90 App



