Al Hilal SC ya Sudan imeanza vizuri kampeni yake ya CECAFA Kagame Cup 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tusker FC ya Kenya katika mchezo wa hatua ya makundi uliochezwa jijini Kigali, Rwanda. Ushindi huo umeiwezesha Al Hilal kujikusanyia pointi muhimu katika harakati za kutinga hatua inayofuata ya mashindano hayo.
Al Hilal ilifungua ukurasa wa mabao dakika ya 30..... download Xtra 90 App



