Kiungo mshambuliaji wa Simba Keletso Makgalwa juzi alianza kutema cheche zake katika mchezo wake wa kwanza michuano ya kombe la Kagame dhidi ya Mogadishu City ambao ulimalizika kwa matokeo ya suluhu ya bila kufungana.
Akitambulishwa saa chache kuelekea mchezo huo, kocha mkuu wa Simba Steve Barker alimpa nafasi kwenye dakika 15 za mwisho kama ilivyokuwa kwa baadhi ya mastaa wengine wapya..... download Xtra 90 App



