Beki wa kati na nahodha msaidizi wa Yanga Dickson Job 'BBD' anazidi kuimarika katika program ya recovery anayoendelea nayo.
Job amekosekana uwanjani kwa takribani miezi minne, baada ya kupona majeraha sasa ameanza mazoezi ya 'fitness'. Ni hatua muhimu kuelekea kurejea kwenye majukumu yake.
Job pamoja na mshambuliaji Clement Mzize ambao wote walikuwa nje kwa muda mrefu, wamejumuishwa..... download Xtra 90 App



