Local, Yanga Sc

Job, Mzize waongeza matumaini Yanga, ni baada ya kuanza mazoezi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
27 Jul 2026
Job, Mzize waongeza matumaini Yanga, ni baada ya kuanza mazoezi

Beki wa kati na nahodha msaidizi wa Yanga Dickson Job 'BBD' anazidi kuimarika katika program ya recovery anayoendelea nayo.

Job amekosekana uwanjani kwa takribani miezi minne, baada ya kupona majeraha sasa ameanza mazoezi ya 'fitness'. Ni hatua muhimu kuelekea kurejea kwenye majukumu yake.

Job pamoja na mshambuliaji Clement Mzize ambao wote walikuwa nje kwa muda mrefu, wamejumuishwa kwenye program za mazoezi katika pre-season ya Yanga inayoendelea Avic Town ingawa Mzize huenda akawahi zaidi kurejea kikosini.

Mzize ameanza kushiriki mazoezi ya timu baada ya kuonyesha kuimarika haraka ingawa kulingana na Meneja wa Habari na Mawasiliano Ali Kamwe, bado atahitaji wiki kadhaa kuimarisha fitness yake kabla ya kuanza rasmi 'kukiwasha' kwenye mechi za ushindani

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
23h ago
READ MORE β†’