Klabu ya Azam FC imeanza rasmi maandalizi ya msimu wa 2026/27 baada ya wachezaji na benchi la ufundi kuripoti kambini kwa mazoezi ya kwanza kuelekea kampeni mpya. Mazoezi hayo yamejikita katika kuimarisha utimamu wa mwili pamoja na maandalizi ya kiufundi, huku kocha mkuu akiongoza vikao vya awali na kutoa maelekezo kwa kikosi chake.
Maandalizi hayo yanafanyika wakati Azam FC ikiendelea..... download Xtra 90 App



