Twiga Stars wamefanya matembezi ya barabarani (road walk) kama sehemu ya kurejesha utimamu wa mwili, siku moja baada ya kuifunga Afrika Kusini mabao 2-1 katika mchezo wa WAFCON 2026.
Mazoezi hayo ni sehemu ya maandalizi kuelekea mechi zao zinazofuata kwenye mashindano hayo.
Baada ya kuandika historia kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Afrika Kusini kwenye mchezo wa Kombe..... download Xtra 90 App



