Shirikisho la Soka la Ufaransa (FFF) limemtangaza rasmi Zinedine Zidane kuwa kocha mkuu mpya wa Timu ya Taifa ya Ufaransa, akichukua nafasi ya Didier Deschamps aliyehitimisha kipindi chake cha miaka 14 madarakani. Zidane amesaini mkataba wa miaka minne utakaomuweka madarakani hadi kampeni ya Kombe la Dunia 2030.
Uteuzi wa Zidane unakuja baada ya kujijengea sifa kubwa akiwa kocha wa Real..... download Xtra 90 App



