Ndoto ya Besiktas ya kumsajili nyota wa Misri Mohamed Salah imeingia kwenye wakati mgumu baada ya mazungumzo kati ya pande hizo kufikia hatua ya kusimama kutokana na tofauti za kifedha.
Besiktas ilikuwa imeonyesha nia kubwa ya kumpata Salah baada ya kuachana na Liverpool, huku klabu hiyo ya Uturuki ikiamini kuwa uzoefu na ubora wa mshambuliaji huyo ungeongeza nguvu kubwa kwenye kikosi..... download Xtra 90 App



