Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake, Twiga Stars, imeanza rasmi maandalizi ya mchezo wao wa pili wa hatua ya makundi wa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON 2026) kwa kufanya mazoezi ya kurejesha utimamu wa mwili leo, kufuatia mchezo mgumu wa ufunguzi dhidi ya Afrika Kusini uliochezwa jana.
Mazoezi hayo yalifanyika katika Uwanja wa Annexes Mohamed V uliopo jijini..... download Xtra 90 App



