Mnyama kufunga kambi Rwanda kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Al merrick.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media • 3rd August 2026


Mnyama kufunga kambi Rwanda kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Al merrick.

Simba SC wanatarajiwa kuhitimisha kambi yao ya maandalizi nchini Rwanda kwa kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Al Merrikh ya Sudan kabla ya kurejea Tanzania.

Mchezo huo utachezwa kesho, Jumanne Agosti 4, ukiwa sehemu ya maandalizi ya mwisho ya Wekundu wa Msimbazi kuelekea msimu wa 2026/27, baada ya kushiriki katika michuano ya CECAFA Kagame Cup.

Benchi la ufundi linatarajiwa kutumia..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Droo hatua ya awali ligi ya mabingwa, Shirikisho (CAF) ni Alhamisi
Droo hatua ya awali ligi ya mabingwa, Shirikisho (CAF) ni Alhamisi
Today, READ MORE →
Tetesi za usajili Ulaya, Jumatatu August 03 2026
Tetesi za usajili Ulaya, Jumatatu August 03 2026
Today, READ MORE →
Mangungu afunguka: “Nilipendekeza mkutano, nikajibiwa kuna marathon”
Mangungu afunguka: “Nilipendekeza mkutano, nikajibiwa kuna marathon”
Today, READ MORE →
Simba hakuna mgogoro, tumepishana mitazamo tu - Mangungu
Simba hakuna mgogoro, tumepishana mitazamo tu - Mangungu
Today, READ MORE →
Mnyama kufunga kambi Rwanda kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Al merrick.
Mnyama kufunga kambi Rwanda kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Al merrick.
Today, READ MORE →
Moalin Kocha Mkuu Mombasa United
Moalin Kocha Mkuu Mombasa United
Today, READ MORE →
Artan kuchezesha Fainali ya CECAFA Kagame Cup 2026
Artan kuchezesha Fainali ya CECAFA Kagame Cup 2026
Today, READ MORE →
Mpanzu akabidhiwa majukumu ya Doumbia Simba
Mpanzu akabidhiwa majukumu ya Doumbia Simba
Today, READ MORE →
Hersi atamba, Yanga haijamaliza kusajili bado mmoja
Hersi atamba, Yanga haijamaliza kusajili bado mmoja
Today, READ MORE →
Ridhiwani Kikwete Ajiunga na Baraza la Wadhamini la Yanga
Ridhiwani Kikwete Ajiunga na Baraza la Wadhamini la Yanga
Today, READ MORE →