Simba SC wanatarajiwa kuhitimisha kambi yao ya maandalizi nchini Rwanda kwa kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Al Merrikh ya Sudan kabla ya kurejea Tanzania.
Mchezo huo utachezwa kesho, Jumanne Agosti 4, ukiwa sehemu ya maandalizi ya mwisho ya Wekundu wa Msimbazi kuelekea msimu wa 2026/27, baada ya kushiriki katika michuano ya CECAFA Kagame Cup.
Benchi la ufundi linatarajiwa kutumia..... download Xtra 90 App



