Mwenyekiti wa klabu ya Simba Murtaza Mangungu amesema hakuna mgogoro wowote katika klabu hiyo kilichotokea jana ni kupishana mitazamo baina ya viongozi wa klabu hiyo.
Jana Mangungu aliitisha Mkutano wa dharura uliofanyika Bunju jijini Dar es salaam ambapo katika mkutano huo alitangaza Bodi mpya ya Wadhamini.
Hata hivyo muda mchache baadae, uongozi wa Simba ukatoa taarifa ya kupinga..... download Xtra 90 App



