Mshambuliaji wa DR Congo, Jephte Kitambala, amekamilisha rasmi uhamisho wake na kujiunga na klabu ya AS FAR ya Morocco.
Kitambala sasa ni sehemu ya kikosi cha mabingwa hao wa Morocco baada ya kusaini mkataba wa kuitumikia timu hiyo kuelekea msimu wa 2026/27.
Mshambuliaji huyo anatarajiwa kuongeza nguvu kwenye safu ya ushambuliaji ya AS FAR, ambayo inaendelea kujipanga kwa ajili ya..... download Xtra 90 App



