Klabu ya Singida Black Stars imetangaza rasmi kufanya mabadiliko makubwa katika benchi lake la ufundi kwa ajili ya msimu ujao.
Hatua hii imekuja baada ya timu hiyo kurejea kutoka nchini Rwanda kwenye michuano ya CECAFA Kagame Cup 2026.
Singida BS imemtangaza rasmi Kocha Mkuu Papy Kimoto. Mtaalamu huyo raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), mwenye umri wa miaka 50 na leseni..... download Xtra 90 App



