Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, ameitisha mkutano wa dharura wa viongozi na watumishi wa FIFA utakaofanyika leo mjini Rabat, Morocco, kufuatia matamshi ya Arsène Wenger yaliyozua mjadala mkubwa na kuongeza shinikizo la kutaka rais huyo ajiuzulu.
Wenger, ambaye ni kocha wa zamani wa Arsenal na kwa sasa anahudumu kama Mkuu wa Kitengo cha Maendeleo ya Soka..... download Xtra 90 App



