Azam FC imezindua rasmi jezi yake mpya ya nyumbani itakayotumika katika msimu wa 2026/27, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea msimu mpya wa mashindano.
Jezi hiyo mpya imewasilishwa kwa mwonekano wa kuvutia unaobeba utambulisho wa klabu, huku ikionyesha mchanganyiko wa rangi za bluu na nyeupe zinazotambulika na Wanalambalamba.
Uzinduzi huo umeibua hisia chanya kutoka kwa..... download Xtra 90 App



