Kiungo mshambuliaji Neo Maema, sasa ni suala la muda tu kabla ya kutambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa Simba SC baada ya kuanza safari ya kurejea nchini Tanzania kwa ajili ya kujiunga tena na Wekundu wa Msimbazi.
Maema anatarajiwa kutua wakati wowote huku Simba SC ikikamilisha hatua za mwisho za kumrejesha nyota huyo ambaye alikuwa sehemu muhimu ya kikosi cha timu hiyo msimu..... download Xtra 90 App



