Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha rasmi usajili wa kiungo mshambuliaji raia wa Nigeria, Henry David, akitokea Fountain Gate FC.
David alikuwa sehemu ya kikosi cha Singida Black Stars kilichoshiriki michuano ya Kombe la CECAFA Kagame hivi karibuni Kigali, Rwanda, ambapo alikuwa kwenye majaribio maalumu kabla ya kupewa mkataba wa kudumu.
Uamuzi wa kumsajili nyota huyo umekuja..... download Xtra 90 App



