Klabu ya Yanga SC imetolea ufafanuzi taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa klabu hiyo imefungiwa kusajili na Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kwa madirisha matatu, ikieleza kuwa jambo hilo lilikuwa ni changamoto ya kawaida ya kiufundi kwenye mfumo wa usajili na tayari imeshatatuliwa.
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe, amewatoa hofu..... download Xtra 90 App



