Kamwe kuongoza shamrashamra za utambulisho Yanga

Joel JJ By Joel JJ β€’ 9th August 2026


Kamwe kuongoza shamrashamra za utambulisho Yanga

Baada ya Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ali, kuongoza shamrashamra za utambulisho wa kikosi cha Simba katika Uwanja wa Uhuru jana, leo ni zamu ya mwenzake kutoka Yanga, Ali Kamwe, kuingia dimbani kuongoza tukio la utambulisho wa kikosi cha Wananchi.

Kamwe anatarajiwa kuwa mmoja wa watu watakaobeba jukumu kubwa la kuliongoza tukio hilo, huku mashabiki wa Yanga wakisubiri..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Kamwe kuongoza shamrashamra za utambulisho Yanga
Kamwe kuongoza shamrashamra za utambulisho Yanga
Today, READ MORE β†’
Mabula kutangazwa Yanga leo?
Mabula kutangazwa Yanga leo?
Today, READ MORE β†’
Ni Yanga Day 2026: Uwanja wa Uhuru
Ni Yanga Day 2026: Uwanja wa Uhuru
Today, READ MORE β†’
Polisi Fc Kenya yatibua furaha Simba Day, yaichapa Simba 1-0
Polisi Fc Kenya yatibua furaha Simba Day, yaichapa Simba 1-0
Today, READ MORE β†’
Suleiman Mwalimu arejea Simba, atambulishwa Simba Day
Suleiman Mwalimu arejea Simba, atambulishwa Simba Day
Today, READ MORE β†’
Baba mzazi wa Lionel Messi, Jorge Messi afariki dunia
Baba mzazi wa Lionel Messi, Jorge Messi afariki dunia
Yesterday, READ MORE β†’
Mosimane kuinoa Bafana Bafana
Mosimane kuinoa Bafana Bafana
Yesterday, READ MORE β†’
TFF yatangaza viingilio Ngao ya jamii Zanzibar
TFF yatangaza viingilio Ngao ya jamii Zanzibar
Yesterday, READ MORE β†’
Simba Day yaanza kwa kishindo, Mashabiki waitika Uwanja wa Uhuru
Simba Day yaanza kwa kishindo, Mashabiki waitika Uwanja wa Uhuru
Yesterday, READ MORE β†’
Sundowns kustaafisha jezi ya Jayden Adams
Sundowns kustaafisha jezi ya Jayden Adams
Yesterday, READ MORE β†’