Omar Artan Kuchezesha mechi ya Uefa super cup kati ya PSG na Aston Villa.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media β€’ 11th August 2026


Omar Artan Kuchezesha mechi ya Uefa super cup kati ya PSG na Aston Villa.

Mwamuzi wa kimataifa kutoka Somalia, Omar Artan, anatarajiwa kuwa mwamuzi wa kati katika mchezo wa UEFA Super Cup kati ya Paris Saint-Germain (PSG) na Aston Villa siku ya Jumatano.

Uteuzi huo unakuja baada ya Artan kutajwa kuwa miongoni mwa waamuzi waliokumbana na changamoto za kuingia nchini Marekani kabla ya Kombe la Dunia 2026, ambapo alizuiwa kuingia nchini humo.

Licha ya tukio..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Simba haijastushwa na Mwalimu kutua Yanga - Magori
Simba haijastushwa na Mwalimu kutua Yanga - Magori
Today, READ MORE β†’
Umafia waliofanya Yanga kumsajili Mwalimu kutoka Simba
Umafia waliofanya Yanga kumsajili Mwalimu kutoka Simba
Today, READ MORE β†’
Omar Artan Kuchezesha mechi ya Uefa super cup kati ya PSG na Aston Villa.
Omar Artan Kuchezesha mechi ya Uefa super cup kati ya PSG na Aston Villa.
Today, READ MORE β†’
Manqoba Mngqithi: Yanga iko tayari kuivutia mashabiki dhidi ya Simba
Manqoba Mngqithi: Yanga iko tayari kuivutia mashabiki dhidi ya Simba
Today, READ MORE β†’
Steve Barker: Simba inaingia kwa lengo la kutwaa Ngao ya Jamii
Steve Barker: Simba inaingia kwa lengo la kutwaa Ngao ya Jamii
Today, READ MORE β†’
Tetesi za usajili, Zikiendelea kupamba moto.
Tetesi za usajili, Zikiendelea kupamba moto.
Today, READ MORE β†’
Yanga yamuiba Mwalimu Zanzibar
Yanga yamuiba Mwalimu Zanzibar
Today, READ MORE β†’
Alvares arejea Madrid baada mapumziko, Barcelona bado inamtaka
Alvares arejea Madrid baada mapumziko, Barcelona bado inamtaka
Today, READ MORE β†’
TFF yazindua mfumo wa kununua tiketi kidigitali
TFF yazindua mfumo wa kununua tiketi kidigitali
Today, READ MORE β†’
Gwalala aanza kazi TRA United
Gwalala aanza kazi TRA United
Yesterday, READ MORE β†’