Yanga SC inaingia kwenye Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba ikiwa na maswali kadhaa kutokana na mabadiliko yaliyofanyika ndani ya kikosi na benchi la ufundi.
Kutokuwepo kwa Dube, Pacome, Job na Mzize, pamoja na wachezaji wengine ambao walikuwa sehemu ya kikosi kilichopata matokeo mazuri misimu iliyopita, kunaongeza changamoto kwa Yanga.
Pia, Yanga imefanya usajili wa wachezaji wengi na..... download Xtra 90 App



