Chelsea yaweka ukomo kwa Man City katika dili la Enzo Fernandez

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 13th August 2026


Chelsea yaweka ukomo kwa Man City katika dili la Enzo Fernandez

Chelsea imeweka msimamo wa mwisho kwa Manchester City katika mazungumzo ya kumtaka kiungo wa Argentina, Enzo Fernandez, ikisisitiza kuwa lazima ilipe Pauni milioni 120 ifikapo saa 11 jioni kwa saa za Uingereza siku ya Ijumaa. Kwa mujibu wa taarifa za mwandishi Fabrizio Romano, Chelsea haitakuwa tayari kupunguza kiasi hicho, hivyo City wanapaswa kufikia thamani hiyo endapo wanataka kukamilisha..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Darwin NuΓ±ez akamilisha uhamisho kwenda Trabzonspor, aungana na Salah Uturuki
Darwin NuΓ±ez akamilisha uhamisho kwenda Trabzonspor, aungana na Salah Uturuki
Today, READ MORE β†’
Kouassi Attohoula Yao aonesha ubora, beki makini muda wote
Kouassi Attohoula Yao aonesha ubora, beki makini muda wote
Today, READ MORE β†’
Dodoma Jiji yaanza msimu ikiwa na hamasa dhidi ya Pamba Jiji
Dodoma Jiji yaanza msimu ikiwa na hamasa dhidi ya Pamba Jiji
Today, READ MORE β†’
Pamba Jiji yalenga nafasi sita za juu au zaidi msimu wa 2026/27
Pamba Jiji yalenga nafasi sita za juu au zaidi msimu wa 2026/27
Today, READ MORE β†’
Chelsea yaweka ukomo kwa Man City katika dili la Enzo Fernandez
Chelsea yaweka ukomo kwa Man City katika dili la Enzo Fernandez
Today, READ MORE β†’
Shangwe za Wananchi baada ya kutwaa Ngao ya Jamii
Shangwe za Wananchi baada ya kutwaa Ngao ya Jamii
Today, READ MORE β†’
Xavi Hernandez ateuliwa kuwa kocha mkuu wa Uholanzi hadi 2030
Xavi Hernandez ateuliwa kuwa kocha mkuu wa Uholanzi hadi 2030
Today, READ MORE β†’
PSG Watwaa tena taji la UEFA Super cup kwa mara ya pili mfululizo.
PSG Watwaa tena taji la UEFA Super cup kwa mara ya pili mfululizo.
Today, READ MORE β†’
Manqoba Aendeleza Rekodi ya Roman Folz Yanga
Manqoba Aendeleza Rekodi ya Roman Folz Yanga
Today, READ MORE β†’
Ahmed Ally: Atema Nyongo msimbazi huku akiwataka mashabiki kutokata tamaa
Ahmed Ally: Atema Nyongo msimbazi huku akiwataka mashabiki kutokata tamaa
Today, READ MORE β†’