Chelsea yaweka ukomo kwa Man City katika dili la Enzo Fernandez

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 13th August 2026


Chelsea yaweka ukomo kwa Man City katika dili la Enzo Fernandez

Chelsea imeweka msimamo wa mwisho kwa Manchester City katika mazungumzo ya kumtaka kiungo wa Argentina, Enzo Fernandez, ikisisitiza kuwa lazima ilipe Pauni milioni 120 ifikapo saa 11 jioni kwa saa za Uingereza siku ya Ijumaa. Kwa mujibu wa taarifa za mwandishi Fabrizio Romano, Chelsea haitakuwa tayari kupunguza kiasi hicho, hivyo City wanapaswa kufikia thamani hiyo endapo wanataka kukamilisha..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Pamba Jiji na Dodoma Jiji Hakuna mbabe ufunguzi wa msimu
Pamba Jiji na Dodoma Jiji Hakuna mbabe ufunguzi wa msimu
Today, READ MORE β†’
Ngassa aweka rekodi ligi kuu 2026/27
Ngassa aweka rekodi ligi kuu 2026/27
Today, READ MORE β†’
Yanga kufanya utambulisho wa Kimataifa kesho , Wananchi waitwa kwa wingi kumshuhudia nyota huyo
Yanga kufanya utambulisho wa Kimataifa kesho , Wananchi waitwa kwa wingi kumshuhudia nyota huyo
Today, READ MORE β†’
Jean Baleke: Nikipigiwa simu na Simba niko tayari kurudi
Jean Baleke: Nikipigiwa simu na Simba niko tayari kurudi
Today, READ MORE β†’
Kocha wa Yanga amwaga sifa kwa Juma Mgunda asema ni Kocha mzuri
Kocha wa Yanga amwaga sifa kwa Juma Mgunda asema ni Kocha mzuri
Today, READ MORE β†’
Mngqithi: Tuna imani tutapata matokeo mazuri dhidi ya Namungo
Mngqithi: Tuna imani tutapata matokeo mazuri dhidi ya Namungo
Today, READ MORE β†’
Bursaspor yamkomalia Oura, yaongeza dau
Bursaspor yamkomalia Oura, yaongeza dau
Today, READ MORE β†’
Akaminko atua Al-Akhdar ya Libya
Akaminko atua Al-Akhdar ya Libya
Today, READ MORE β†’
JKT Tanzania yamnasa Chikola, yampa miaka miwili
JKT Tanzania yamnasa Chikola, yampa miaka miwili
Today, READ MORE β†’
Pazia la ligi kuu 2026/27 linafunguliwa leo
Pazia la ligi kuu 2026/27 linafunguliwa leo
Today, READ MORE β†’