Klabu ya Bursaspor ya Uturuki imezidisha juhudi za kumsajili winga wa Simba SC, Anicet Oura, baada ya kuwasilisha ofa mpya yenye thamani ya dola milioni 1, sawa na zaidi ya Sh bilioni 2.6.
Bursaspor ilikuwa tayari imeonyesha nia ya kumsajili Oura, huku taarifa kutoka Uturuki zikieleza kuwa klabu hiyo ilianza mazungumzo ya moja kwa moja na Simba kuhusu uwezekano wa kukamilisha uhamisho wa..... download Xtra 90 App



